Tangazo la Kuitwa Kazini 2026
Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma
Tarehe: 08 Mei 2026
Kumbukumbu: JA.9/18/01"E"/12
Kumbukumbu: JA.9/18/01"E"/12
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ametangaza rasmi majina ya waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi katika taasisi na halmashauri mbalimbali nchini Tanzania. Tangazo hili linahusisha waombaji waliofanya usaili kati ya tarehe 25 Aprili 2025 hadi 21 Januari 2026.
Walioitwa Kazini Wanatakiwa Kufanya Nini?
Waombaji wote waliofaulu usaili wanatakiwa kuingia kwenye akaunti zao za Ajira Portal kupitia sehemu ya My Applications ili kupakua barua zao za ajira na kwenda kuripoti kwenye vituo walivyopangiwa.
- Pakua barua ya ajira kupitia Ajira Portal
- Chapisha nakala ya barua hiyo
- Ripoti kwa mwajiri ndani ya muda uliopangwa
- Nenda na vyeti halisi vya masomo kwa uhakiki
Kada Zilizotajwa Katika Tangazo
| Kada | Baadhi ya Maeneo |
|---|---|
| Walimu wa Sekondari | Musoma, Bunda, Rorya, Tarime, Moshi |
| Walimu wa Msingi | Ludewa, Moshi, Monduli, Tarime |
| Tabibu na Afya | Musoma, Tarime, Bunda |
| Wahasibu | Musoma, Tarime, Bunda |
| Maafisa Sheria | Musoma, Tarime, Bunda |
| Maafisa Mifugo | Monduli, Moshi, Tarime |
| Maafisa Mazingira | Rorya, Bunda |
Mambo Muhimu ya Kuzingatia
- Majina yote yapo ndani ya PDF rasmi ya Ajira Portal
- Wasioona majina yao hawakufaulu au hawakupata nafasi
- Endelea kufuatilia matangazo mengine ya ajira
- Ripoti kwa wakati ili kuepuka kupoteza nafasi yako
Jinsi ya Kupakua Orodha Kamili
Bonyeza link hapa chini kupakua tangazo rasmi lenye majina yote ya walioitwa kazini pamoja na vituo vyao vya kazi.
PAKUA PDF HAPA
