Nafasi nyingine za kazi


 

Fursa za Ajira Tanzania – Mei 2026

Fursa za Ajira Tanzania

Imechapishwa Mei 2026 – Uandishi wa Kitaalamu

Mhasibu & Huduma kwa Wateja

Eneo: Tabata
Mshahara: 500,000 TZS kwa mwezi
Muda wa Kazi: Saa 7 asubuhi – Saa 3 usiku, siku 6 kwa wiki

Vigezo:

  • Uzoefu wa cashier na huduma kwa wateja
  • Ujuzi wa THL Accounting
  • Hisabati na kompyuta za msingi
  • Uaminifu na uwajibikaji

Mpishi wa Kitaalamu

Eneo: Masaki
Mshahara: 500,000 TZS kwa mwezi
Hali: Kuishi kwa mwajiri

Vigezo:

  • Ujuzi wa mapishi kitaalamu
  • Usafi na nidhamu
  • Uaminifu
  • Kujiongoza na kujiongeza

Dada wa Malezi (Nanny)

Eneo: Dar es Salaam
Mshahara: 500,000 TZS kwa mwezi
Hali: Kuishi kwa mwajiri

Vigezo:

  • Uzoefu wa malezi ya watoto
  • Elimu ya malezi ya watoto
  • Uwezo wa kuzungumza Kiingereza
  • Usafi na uaminifu

Nesi wa Nyumbani (Homecare Nurse)

Eneo: Morogoro
Mshahara: 500,000 TZS kwa mwezi
Hali: Kuishi kwa mwajiri

Majukumu:

  • Uzoefu wa kitaalamu wa uuguzi
  • Kumfanyisha mgonjwa mazoezi
  • Kupima presha
  • Leseni halali ya uuguzi
  • Kushauri na kuandaa chakula cha mgonjwa

Dada wa Usafi (Cleaner)

Eneo: Salasala
Mshahara: 400,000 TZS kwa mwezi
Hali: Kwenda na kurudi

Vigezo:

  • Uzoefu wa usafi kitaalamu
  • Uwezo wa kuzungumza Kiingereza
  • Usafi na nidhamu
  • Uaminifu

© 2026 Blogu ya Ajira Tanzania | Imeandikwa kwa mtindo wa BBC/Mwanaspoti

Previous Post Next Post