📢 NAFASI ZA KAZI: MUHUDUMU SHAMBA – SERIKALI YA ZANZIBAR
Tarehe: 28 Aprili 2026
Waajiri: Tume ya Utumishi Serikalini Zanzibar
Kada: Muhudumu Shamba Daraja la III (ZPSB-01)
Idadi ya Nafasi: 4 (Pemba)
Waajiri: Tume ya Utumishi Serikalini Zanzibar
Kada: Muhudumu Shamba Daraja la III (ZPSB-01)
Idadi ya Nafasi: 4 (Pemba)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Tume ya Utumishi Serikalini imetangaza nafasi mpya za ajira kwa kada ya Muhudumu Shamba kwa ajili ya Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo.
🎓 Sifa za Mwombaji
- Awe Mzanzibari.
- Umri usiozidi miaka 46.
- Awe amehitimu elimu ya sekondari kutoka shule inayotambulika na Serikali.
📌 Majukumu ya Nafasi
Waombaji watakaofaulu watahusika katika shughuli za maendeleo ya kilimo, kusaidia wakulima, pamoja na utekelezaji wa mipango ya wizara katika sekta ya kilimo na mifugo.
📝 Jinsi ya Kuomba
- Maombi yote yawasilishwe kwa njia ya mtandao kupitia mfumo wa ZanAjira.
- Tumia tovuti: https://portal.zanajira.go.tz
- Maombi yanaanza: 28 Aprili 2026
- Mwisho wa kutuma maombi: 05 Mei 2026
⚠️ Muhimu: Maombi yote yanapaswa kutumwa kwa njia ya kielektroniki pekee. Hakuna maombi ya karatasi yatakayokubaliwa.
📬 Anwani ya Mwajiri
Katibu,
Tume ya Utumishi Serikalini,
S.L.P 1587,
Zanzibar
📞 Mawasiliano
Kwa msaada zaidi, wasiliana kupitia simu:
0773 101 012
📥 Pakua Tangazo Rasmi
Bonyeza hapa chini kupakua tangazo kamili la PDF kwa maelezo zaidi:
Download PDF hapa
